Bryan Cristante akimzidi ujanja Ashley Williams na kuifungia kwa kichwa Atalanta bao la pili dakika ya 63 akitoka kufunga la kwanza dakika ya 12 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Everton usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool kwenye mchezo wa Kundi E Europa League. Mabao mengine ya Atalanta yalifungwa na Andreas Cornelius mawili pia dakika za 88 na 90 na ushei na Robin Gosens dakika ya 86 wakati la Everton lilifungwa na Sandro Ramírez dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal hold positive contract talks with Gabriel Magalhaes as they look to
reward the defender with fresh terms for playing a key role in title charge
-
The Brazil international (left), who has emerged as one of the leaders of
the Gunners title charge, only signed a new contract in October 2022 - but
the cl...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment