Mshambuliaji Raheem Sterling akimchambua kipa Brad Jones wa Feyenoord ya Uholanzi kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 88 Uwanja wa Etihad katika ushindi wa 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya na moja kwa moja kuiwezesha timu hiyo ya kocha Pep Guardiola kufuzu hatua ya mtoano kama mshindi wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB Trade Rumors: Luis Castillo, Tyler Mahle Interest Giants; Mets Linked to Mahle
-
"I'm hearing that the Giants are looking at the Reds starters, Castillo and
Mahle. I do think there is a possibility there. The Mets have scouted at
least ...
Dakika 1 iliyopita
0 maoni:
Chapisha Maoni