Mshambuliaji Raheem Sterling akimchambua kipa Brad Jones wa Feyenoord ya Uholanzi kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 88 Uwanja wa Etihad katika ushindi wa 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya na moja kwa moja kuiwezesha timu hiyo ya kocha Pep Guardiola kufuzu hatua ya mtoano kama mshindi wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia blames Ukrainian drones for attack on LNG ship in Mediterranean
-
MOSCOW, March 4 () - Russia's transport ministry on Wednesday accused
Ukrainian naval drones of attacking a Russian liquefied natural gas
carrier, the Ar...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment