Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kushoto) akikabidhiwa tuzo ya Mfungaji Bora wa Ulaya msimu wa 2016-17 na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Luis Suarez leo baada ya kufunga mabao 37 katika La Liga msimu uliopita, ingawa timu yake ilishika nafasi ya pili nyuma ya mabingwa, Real Madrid. Hiyo inakuwa mara ya nne Messi kushinda Kiatu cha Dhahabu cha Ulaya, hivyo anafikia rekodi ya Cristiano Ronaldo wa Real Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Spain national team director and ex-Newcastle player Albert Luque
'sent a text about World Cup kiss-gate star Jenni Hermoso' stating he hoped
'she would die alone' in anger at how she wouldn't drop Luis Rubiales
accusations
-
Former Newcastle winger Albert Luque reportedly told a friend of Jenni
Hermoso he wished the Spain star 'would be alone for the remainder of her
life' in a...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment