Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kushoto) akikabidhiwa tuzo ya Mfungaji Bora wa Ulaya msimu wa 2016-17 na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Luis Suarez leo baada ya kufunga mabao 37 katika La Liga msimu uliopita, ingawa timu yake ilishika nafasi ya pili nyuma ya mabingwa, Real Madrid. Hiyo inakuwa mara ya nne Messi kushinda Kiatu cha Dhahabu cha Ulaya, hivyo anafikia rekodi ya Cristiano Ronaldo wa Real Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen storms to Imola Grand Prix victory as fast start catches out
Oscar Piastri - while Lewis Hamilton bounces back from disappointing
qualifying to finish fourth
-
JONATHAN MCEVOY AT IMOLA: You could look up at the screens at any point in
Sunday's Emilia-Romagna Grand Prix and find yourself unable to escape the
sheer ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment