Beki wa Mbeya City, Ramadhan Malima akiwa amemuangusha mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 5-0
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Martin (kushoto) akimtoka beki wa Mbeya City jana
Kiungo wa Mbeya City, Mohammed Samatta akimiliki mpira mbele ya Emmanuel Martin wa Yanga
Beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akipita na mpira kwa kasi dhidi ya mshambuliaji wa Mbeya City, Frank Ikobela
Kungo wa Mbeya City, Babu Ally (kushoto) akipambana na kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib jana
Beki wa Yanga, Juma Abdul akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Mbeya City, Hassan Mwasapili
Kocha Mzambia wa Yanga, George Lwandamina (kulia) akimpa maelekezo mchezaji wake, Ibrahim Ajib
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akiupigia hesabu mpira mbele ya kiungo wa Mbeya City, Mohammed Samatta
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa jana
Kikosi cha Mbeya City katika mchezo wa jana
Snicko cock-up is an embarrassment and almost as bad as a conspiracy from
Aussie operators - and you don't have to be a 'whingeing Pom' to realise
that, writes Wisden Editor LAWRENCE BOOTH
-
It's embarrassing that a series of this magnitude, with careers on the
line, should tolerate even the possibility of inaccuracy, when the
UltraEdge used in...
31 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment