Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun police nab two suspects linked to Edo kidnapping, killing of hostages
-
The Ogun State Police Command has disclosed that two suspects, Gafaru Adamu
and Muhammed Sanni, arrested in the Atiba area of Ijebu-Ode have been
linked ...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment