Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Wrexham vs Chelsea on TV? Channel, kick-off time and how to watch FA Cup
tie
-
Everything you need to know as Liam Rosenior’s side take on Wrexham for a
place in the quarter-finals of the FA Cup
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment