Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham want to hold talks with Julian Nagelsmann as uncertainty looms over Antonio Conte
-
Tottenham want to hold talks with Julian Nagelsmann as uncertainty reigns
over the future of current head coach Antonio Conte. Bayern Munich are
moving to ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment