Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup: Scaloni provides fresh update on Messi’s fitness
-
Lionel Messi has made progress in his injury recovery and may play a few
minutes in Argentina's forthcoming friendlies before their World Cup
The post 20...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment