Ashley Young akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 19 na 25 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Watford usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya United yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 32 na Jesse Lingard dakika ya 86 wakati ya Watford yalifungwa na Troy Deeney dakika ya 77 kwa penalti baada ya Marcos Rojo kucheza rafu kwenye boksi na Abdoulaye Doucoure dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment