Ashley Young akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 19 na 25 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Watford usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya United yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 32 na Jesse Lingard dakika ya 86 wakati ya Watford yalifungwa na Troy Deeney dakika ya 77 kwa penalti baada ya Marcos Rojo kucheza rafu kwenye boksi na Abdoulaye Doucoure dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis greats accuse Carlos Alcaraz of mocking Novak Djokovic over bizarre
act in their classic Australian Open clash
-
The Serb was giving away 16 years to Alcaraz but that didn't matter at all
as he came from a set down to emerge victorious in an epic that transfixed
the c...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment