Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Roma kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Kevin Gameiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Morgan Rogers 'so excited' after sealing British record $156.5M move from
Aston Villa to Chelsea
-
The England World Cup forward Morgan Rogers completed his British transfer
record move from Aston Villa to Premier League rival Chelsea on Tuesday. No
fee ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment