Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Roma kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Kevin Gameiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Suns Rumors: Deandre Ayton Trade to Be Explored amid Chris Paul Buzz
-
The Phoenix Suns reportedly intend to explore trade opportunities for
veteran big man Deandre Ayton this summer, according to ESPN's Adrian
Wojnarowski. The…
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment