• HABARI MPYA

    Sunday, July 12, 2026

    JUDE BELLINGHAM AIPELEKA ENGLAND NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA


    TIMU ya England imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Dubai Banda ya ushindi wa mania 2-1 dhidi ya Norway isolines kuamkia  leo Uwanja wa Hard Rock Jijini Miami Gardens, Dade County, Florida, Marekani.
    Mabao yote ya Three Lions yamefumgwa na kiungo mshambuliaji Jude Victor William Bellingham mwenye asili ya Kenya anayechezea klabu ya Real Madrid ya Hispania aliyefunga dakika ya  45’+2 na 93 katika mchezo uliodumu kwa Danika 120.
    Kwa uplande wao Norway bao lao pekee amefunga kiungo mshambuliaji wa Benfica ya Ureno,  Andreas Rædergård Schjelderup dakika ya 36.
    England sasa itakutana na mshindi kati ya Argentina na Uswisi zitakazomenyana baadaye leo Uwanja wa Arrowhead, Kansas City, Missouri, Marekani. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JUDE BELLINGHAM AIPELEKA ENGLAND NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top