Wayne Rooney akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 18, 28 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la nne lilifungwa na Ashley Williams dakika ya 78, ushindi ambao unamkaribisha vizuri kocha mpya, Sam Allardyce PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dele Alli has gone AWOL and 'isn't answering the phone' to Besiktas
-
His season in Turkey has been marred by poor performances and he has failed
to impress - and in the latest development, Gunes has now revealed the club
are...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment