Wayne Rooney akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 18, 28 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la nne lilifungwa na Ashley Williams dakika ya 78, ushindi ambao unamkaribisha vizuri kocha mpya, Sam Allardyce PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Barcelona preparing blockbuster move after Adeyemi deal
-
Barcelona transfer latest as Karim Adeyemi nears and Julian Alvarez remains
the dream signingBarcelona’s summer has started to reveal its shape, and
with i...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment