Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 76 ikiwalza Malaga 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Casemiro dakika ya 21, wakati ya Malaga yamefungwa na Diego Rolan dakika ya 18 na Gonzalo Castro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United bids for Sergej Milinkovic-Savic
-
La Repubblica reports that Manchester United has a bid to Lazio for
midfielder Sergej Milinkovic-Savic. With the departure of Nemanja Matic,
United are in ...
Dakika 5 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni