Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 76 ikiwalza Malaga 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Casemiro dakika ya 21, wakati ya Malaga yamefungwa na Diego Rolan dakika ya 18 na Gonzalo Castro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment