Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 76 ikiwalza Malaga 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Casemiro dakika ya 21, wakati ya Malaga yamefungwa na Diego Rolan dakika ya 18 na Gonzalo Castro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Plastic surgeon sacked over £250k sabbatical wins case against NHS
-
A plastic surgeon who “abandoned” his NHS job at a Yorkshire hospital for a
£250,000 a year post in Abu Dhabi has won an unfair dismissal case against
the ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment