Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 76 ikiwalza Malaga 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema dakika ya tisa na Casemiro dakika ya 21, wakati ya Malaga yamefungwa na Diego Rolan dakika ya 18 na Gonzalo Castro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'What a start!' Graham gives Scotland early lead against France
-
Darcy Graham scores an early try to give Scotland the lead over France in
the Six Nations at Murrayfield.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment