Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akifumua shuti kuifungia Real Madrid bao la sita dakika ya 54 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, APOEL kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia nchini Cyprus. Ronaldo alifunga mabao mawili, lingine dakika ya 49, wakati mabao mengine ya Real yalifungwa na Luka Modric dakika ya 23, Karim Benzema mawili dakika za 39 na 45 na ushei na Nacho dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luton 1-5 Brentford: Yoane Wissa scores first half brace as Rob Edwards'
relegation-threatened side suffer heavy defeat against rampant Bees
-
DOMINIC HOGAN AT KENILWORTH ROAD: So often this season Bryan Mbeumo has
proven the answer to where Brentford's threat comes in the absence of Ivan
Toney.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment