Neymar (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Dani Alves na Draxler baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la pili dakika ya 52 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Monaco kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Stade Louis II. mjini Monaco. Bao la kwanza lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 19, wakati la Monaco lilifungwa na Joao Moutinho dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup: Scaloni provides fresh update on Messi’s fitness
-
Lionel Messi has made progress in his injury recovery and may play a few
minutes in Argentina's forthcoming friendlies before their World Cup
The post 20...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment