Neymar (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Dani Alves na Draxler baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la pili dakika ya 52 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Monaco kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Stade Louis II. mjini Monaco. Bao la kwanza lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 19, wakati la Monaco lilifungwa na Joao Moutinho dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United legend lands spot on the Sidemen's hit new Netflix show - after
claiming he'd rather be known as a 'YouTuber' than an ex-Red Devils star
-
The defender starred across eight years at Old Trafford between 2008 and
2016 during which time he won five Premier League titles, the Champions
League and...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment