Neymar (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Dani Alves na Draxler baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la pili dakika ya 52 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Monaco kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Stade Louis II. mjini Monaco. Bao la kwanza lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 19, wakati la Monaco lilifungwa na Joao Moutinho dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft Rumors: Teams Feel Michael Penix Jr. is a 1st-Round Lock amid
Raiders Buzz
-
It's been assumed for weeks that four quarterbacks were assured of being
selected in the first round of the 2024 NFL draft, but there is growing
buzz that a…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment