Neymar (kushoto) akishangilia na wachezaji wenzake Dani Alves na Draxler baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la pili dakika ya 52 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Monaco kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Stade Louis II. mjini Monaco. Bao la kwanza lilifungwa na Edinson Cavani dakika ya 19, wakati la Monaco lilifungwa na Joao Moutinho dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Plastic surgeon sacked over £250k sabbatical wins case against NHS
-
A plastic surgeon who “abandoned” his NHS job at a Yorkshire hospital for a
£250,000 a year post in Abu Dhabi has won an unfair dismissal case against
the ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment