NEYMAR AFUNGA MAWILI, PSG WAITANDIKA CELTIC 7-1 ULAYA
Nyota aliyesajiliwa Paris Saint-Germain kwa dau la rekodi ya dunia, Pauni Milioni 198, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za tisa na 22 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celtic ya Scotland Uwanja wa Park des Princes mjini Paris, Ufaransa kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani dakika za 28 na 79, Kylian Mbappe dakika ya 35, Marco Verratti dakika ya 75 na Dani Alves dakika ya 80, wakati bao la Celtic limefungwa na Moussa Dembele dakika ya kwanzaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno 'concerned but positive' for injured Awoniyi
-
Nottingham Forest manager Nuno Espirito Santo says the club are "concerned
but positive" about striker Taiwo Awoniyi, who was put in an induced coma
after ...
Simba book final spot in CAF Confederation cup
-
Simba booked their spot in the final of the CAF Confederation Cup following
a goalless draw against Stellenbosch on Sunday afternoon. The host
continued ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment