NEYMAR AFUNGA MAWILI, PSG WAITANDIKA CELTIC 7-1 ULAYA
Nyota aliyesajiliwa Paris Saint-Germain kwa dau la rekodi ya dunia, Pauni Milioni 198, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za tisa na 22 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celtic ya Scotland Uwanja wa Park des Princes mjini Paris, Ufaransa kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani dakika za 28 na 79, Kylian Mbappe dakika ya 35, Marco Verratti dakika ya 75 na Dani Alves dakika ya 80, wakati bao la Celtic limefungwa na Moussa Dembele dakika ya kwanzaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
MAELEZO Yakusanya Zaidi ya Milioni 354
-
Idara ya Habari – MAELEZO imekusanya jumla ya shilingi 354,190,750 sawa na
asilimia 199 katika mwaka wa fedha 2021/2022. Waziri wa Habari, Mawasiliano
na T...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni