NEYMAR AFUNGA MAWILI, PSG WAITANDIKA CELTIC 7-1 ULAYA
Nyota aliyesajiliwa Paris Saint-Germain kwa dau la rekodi ya dunia, Pauni Milioni 198, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za tisa na 22 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celtic ya Scotland Uwanja wa Park des Princes mjini Paris, Ufaransa kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani dakika za 28 na 79, Kylian Mbappe dakika ya 35, Marco Verratti dakika ya 75 na Dani Alves dakika ya 80, wakati bao la Celtic limefungwa na Moussa Dembele dakika ya kwanzaPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ibadan: Home to ‘sons of the soil’
-
• The story of Olatunbosun, KDU VC From Yinka Fabowale, Ibadan It was
popularised by politicians of the Second Republic in the old Oyo State. But
it ha...
WANACHAMA WA OMTO WANUFAIKA NA IMBEJU YA CRDB
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and
Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule ( katikati ), Diwani wa Kata ya
Kitunda, Vic...
San Diego Loyal ist erster BVB-Gegner auf USA-Reise
-
San Diego wird für Borussia Dortmund der erste Halt auf der vom 24. Juli
bis 3. August stattfindenden USA-Reise sein. Während der Zeit an der
kalifornische...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment