Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao la kwanza lilifungwa na Jamie Vardy dakika ya 13, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Symonds asked Cricket Australia for a pay cut so he could spend more time fishing
-
Andrew Symonds once offered to take a pay cut from Cricket Australia so he
could spend more time fishing, and less corporate appearances.
Dakika 7 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni