Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao la kwanza lilifungwa na Jamie Vardy dakika ya 13, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun police nab two suspects linked to Edo kidnapping, killing of hostages
-
The Ogun State Police Command has disclosed that two suspects, Gafaru Adamu
and Muhammed Sanni, arrested in the Atiba area of Ijebu-Ode have been
linked ...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment