Riyad Mahrez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao la kwanza lilifungwa na Jamie Vardy dakika ya 13, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Henderson's shock England recall 'a great move', claims Jordan
Pickford - as ex-Liverpool captain backed to add leadership to Three Lions
-
JAMES SHARPE: New England boss Tuchel has been impressed with Henderson
since his move to Dutch side Ajax and hailed the 'character, personality
and energy...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment