Willian akifurahia na mchezaji mwenzake wa Chelsea, Eden Hazard baada ya kufunga mabao mawili dakika za 36 na 85 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Qarabag usiku wa Jumatano Uwanja wa Bakı Olimpiya mjini Baku. Mabao mengine ya Chelsea katika mchezo huo wa Kundi C yamefungwa na Hazard dakika ya 21 na Cesc Fabregas dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup: Scaloni provides fresh update on Messi’s fitness
-
Lionel Messi has made progress in his injury recovery and may play a few
minutes in Argentina's forthcoming friendlies before their World Cup
The post 20...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment