Harry Kane akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao la pili la Spurs lilifungwa na Son Heung-Min dakika ya 76, wakati la Borussia Dortmund lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Plastic surgeon sacked over £250k sabbatical wins case against NHS
-
A plastic surgeon who “abandoned” his NHS job at a Yorkshire hospital for a
£250,000 a year post in Abu Dhabi has won an unfair dismissal case against
the ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment