Harry Kane akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao la pili la Spurs lilifungwa na Son Heung-Min dakika ya 76, wakati la Borussia Dortmund lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup: Scaloni provides fresh update on Messi’s fitness
-
Lionel Messi has made progress in his injury recovery and may play a few
minutes in Argentina's forthcoming friendlies before their World Cup
The post 20...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment