Harry Kane akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao la pili la Spurs lilifungwa na Son Heung-Min dakika ya 76, wakati la Borussia Dortmund lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Haatem set to join stable star Rosallion in the 2000 Guineas next month
after dominant victory in the Craven Stakes at Newmarket
-
Richard Hannon unleashed the devastating winner of the most important 2000
Guineas trial on Thursday - but it was a horse at home who had him purring.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment