Harry Kane akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao la pili la Spurs lilifungwa na Son Heung-Min dakika ya 76, wakati la Borussia Dortmund lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the incredible plans to transform the Pyramids of Giza into a
heavyweight boxing venue for Oleksandr Usyk's historic fight
-
Oleksandr Usyk will swap packed stadiums for one of the most extraordinary
settings sport has ever seen when he takes on former kickboxing champion
Rico Ve...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment