• HABARI MPYA

    Thursday, November 30, 2017

    RAHEEM STERLING TENA, AIFUNGIA LA USHINDI WA 2-1 MAN CITY

    Raheem Sterling akiruka juu kishujaa kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya sita ya muda wa nyingeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida ikiilaza 2-1 Southampton Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanz la Man City lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 47, kabla ya Oriol Romeu kuisawazishia Southampton dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAHEEM STERLING TENA, AIFUNGIA LA USHINDI WA 2-1 MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top