Raheem Sterling akiruka juu kishujaa kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya sita ya muda wa nyingeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida ikiilaza 2-1 Southampton Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanz la Man City lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 47, kabla ya Oriol Romeu kuisawazishia Southampton dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun police nab two suspects linked to Edo kidnapping, killing of hostages
-
The Ogun State Police Command has disclosed that two suspects, Gafaru Adamu
and Muhammed Sanni, arrested in the Atiba area of Ijebu-Ode have been
linked ...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment