Raheem Sterling akiruka juu kishujaa kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya sita ya muda wa nyingeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida ikiilaza 2-1 Southampton Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanz la Man City lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 47, kabla ya Oriol Romeu kuisawazishia Southampton dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup: Scaloni provides fresh update on Messi’s fitness
-
Lionel Messi has made progress in his injury recovery and may play a few
minutes in Argentina's forthcoming friendlies before their World Cup
The post 20...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment