Raheem Sterling akiruka juu kishujaa kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya sita ya muda wa nyingeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida ikiilaza 2-1 Southampton Uwanja wa Etihad usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanz la Man City lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 47, kabla ya Oriol Romeu kuisawazishia Southampton dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NASCAR at Charlotte 2022: Odds, Preview and Top Storylines
-
The NASCAR Cup Series' ultimate test of endurance finishes off one of the
best days in motorsports. The Coca-Cola 600 at Charlotte Motor Speedway
tests a d...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni