Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sue Bird joins Seattle Storm ownership group after starring for WNBA team
for 21 years
-
Storm owners, Force 10 Hoops, said that the 43-year-old, 13-time All-Star
joined the ownership group despite no financial details about the
transaction bei...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment