Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England Test captain Ben Stokes opens up on crippling panic attacks that almost forced him to quit
-
The new skipper has opened up on the challenges he's faced, including the
death of his father, assault charges following an altercation in Bristol
and rele...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni