Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia blames Ukrainian drones for attack on LNG ship in Mediterranean
-
MOSCOW, March 4 () - Russia's transport ministry on Wednesday accused
Ukrainian naval drones of attacking a Russian liquefied natural gas
carrier, the Ar...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment