Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodrygo latest: 'Five Premier League clubs - including Man United - ready
to battle over the Brazilian' as he looks to depart Real Madrid following
issue with Jude Bellingham
-
The Brazilian is primed for a summer exit from the Santiago Bernabeu after
reportedly deciding he doesn't want to play for the club again, and is
believed ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment