Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez wakiwalalamikia marefa kuwanyima bao kipindi cha pili usiku wa jana Uwanja wa Mestalla katika mchezo wa La Liga, Valencia. Shuti la Messi lilivuta mstari wa lango, lakini kipa Norberto Murara 'Neto' akaokolea ndani timu hizo zikitoka sare ya 1-1, Rodrigo Moreno Machado alianza kuwafungia Valencia dakika ya 60, kabla ya Jordi Alba kuwasawazishia dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No. 1 UNC Upset by Alabama in Sweet 16 as March Madness Fans Criticize RJ
Davis
-
RJ Davis had been one of the best players in college basketball all season,
but on Thursday his shot wasn't falling as No. 4 Alabama beat No. 1 North
Carol...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment