Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez wakiwalalamikia marefa kuwanyima bao kipindi cha pili usiku wa jana Uwanja wa Mestalla katika mchezo wa La Liga, Valencia. Shuti la Messi lilivuta mstari wa lango, lakini kipa Norberto Murara 'Neto' akaokolea ndani timu hizo zikitoka sare ya 1-1, Rodrigo Moreno Machado alianza kuwafungia Valencia dakika ya 60, kabla ya Jordi Alba kuwasawazishia dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2021/22 Ghana Premier League: Week 31 Match Preview - AshantiGold vs. Accra Lions
-
AshantiGold SC put aside their present challenges to see off relegation
threatened Elmina Sharks FC with a 3-1 victory last week in the Ghana
Premier Leagu...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni