Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez wakiwalalamikia marefa kuwanyima bao kipindi cha pili usiku wa jana Uwanja wa Mestalla katika mchezo wa La Liga, Valencia. Shuti la Messi lilivuta mstari wa lango, lakini kipa Norberto Murara 'Neto' akaokolea ndani timu hizo zikitoka sare ya 1-1, Rodrigo Moreno Machado alianza kuwafungia Valencia dakika ya 60, kabla ya Jordi Alba kuwasawazishia dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the incredible plans to transform the Pyramids of Giza into a
heavyweight boxing venue for Oleksandr Usyk's historic fight
-
Oleksandr Usyk will swap packed stadiums for one of the most extraordinary
settings sport has ever seen when he takes on former kickboxing champion
Rico Ve...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment