Mshambuliaji Sadio Mane akiruka kichwa cha mkizi kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 22 katika sare ya 3-3 na wenyeji, Sevilla katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Roberto Firmino dakika ya pili na ya 30, wakati ya Sevilla yalifungwa na Wissam Ben Yedder dakika ya 51 na 60 kwa penalti na Guido Pizarro dakika ya 90 na ushei. Kwa sare hiyo, Liverpool wanalazimika kushinda mechi ya mwisho dhidi ya Spartak Moscow wiki mbili zijazo ili kuingia hatua mtoano, vinginevyo wataangukia Europa League PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 World Cup: Scaloni provides fresh update on Messi’s fitness
-
Lionel Messi has made progress in his injury recovery and may play a few
minutes in Argentina's forthcoming friendlies before their World Cup
The post 20...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment