Jakob Johansson akishangilia baada ya kuifungia Sweden bao peeke la ushindi dakika ya 61 na la kwanza kwake tangu aanze kuichezea timu yake hiyo ya taifa ikiilaza 1-0 Italia usiku wa jana Uwanja wa Friends Arena mjini Solna katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Urusi. Italia watahitaji ushindi wa kuanzia 2-0 kwenye mchezo wa marudiano Uwanja wa San Siro ili kufuzu fainali za Urusi 2018 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Argentina's Julian Alvarez is such a threat to England: He has an
INSANE record in semi-finals, an iconic striker says he's BETTER than
Lionel Messi - and Europe's best clubs want him after Atletico Madrid
snubbed £128m bid
-
Deep in the bowels of extra-time, with Argentina toiling and needing
something special to unlock Switzerland, Alvarez unleashed a gamma ray
which tore into...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment