Jakob Johansson akishangilia baada ya kuifungia Sweden bao peeke la ushindi dakika ya 61 na la kwanza kwake tangu aanze kuichezea timu yake hiyo ya taifa ikiilaza 1-0 Italia usiku wa jana Uwanja wa Friends Arena mjini Solna katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Urusi. Italia watahitaji ushindi wa kuanzia 2-0 kwenye mchezo wa marudiano Uwanja wa San Siro ili kufuzu fainali za Urusi 2018 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Crouch forks out £7,500 on 1,000 pints of Guinness after losing
Cheltenham bet
-
Crouch has been a prominent figure at Cheltenham over the years and has
been an ever-present at this year's festival too, but found himself out of
pocket w...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment