Eden Hazard (kulia) akipongezana na Romelu Lukaku usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussel, baada ya wote kufunga katika sare ya 3-3 na Mexico kwenye mchezo wa kirafiki. Hazard alifunga moja dakika ya 17 na Lukaku akafunga mawili dakika za 55 na 70, wakati mabao ya Mexico yalifungwa na Andres Guardado dakika ya 38 kwa penalti, Hirving Lozano dakika ya 56 na 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Crouch forks out £7,500 on 1,000 pints of Guinness after losing
Cheltenham bet
-
Crouch has been a prominent figure at Cheltenham over the years and has
been an ever-present at this year's festival too, but found himself out of
pocket w...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment