Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Simba ilishinda 1-0
Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima akiondoka na mpira dhidi ya wachezaji wa Mbeya City
Kipa wa Mbeya City, Fikirini Bakari akiwa tayari kuokoa mpira unaoelekea kupigwa na John Bocco aliyemuacha chini beki kushoto
Kiungo wa Mbeya City, Mohammed Samatta (kushoto) akimiliki mpira
Kikosi cha Mbeya City kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Simba kabla ya mchezo wa jana
Burnley fan is spotted making sick gestures mocking the Munich air disaster
during draw with Man United at Old Trafford... as club vow to help police
'identify and prosecute' supporters over tragedy chanting
-
Footage was posted on social media following Burnley's 1-1 draw against Man
United on Saturday, with one supporter seen making aeroplane gestures with
his ...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment