Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Brazil kwa penalti dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Japan Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Lille, Ufaransa jioni ya leo kwenye mchezo wa kirafiki. Neymar angefunga mabao mawili kama asingekosa penalti nyingine dakika ya 17 wakati mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Marcelo dakika ya 17 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This is what awaits you, England! Argentina fans take over Atlanta and
'wave Falklands flags' as police brace for 'highest risk' World Cup match
between bitter rivals
-
NICK PISA IN ATLANTA: Hundreds of Argentina fans gathered in central
Atlanta for a rally ahead of the crunch semi-final against England.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment