Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Brazil kwa penalti dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Japan Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Lille, Ufaransa jioni ya leo kwenye mchezo wa kirafiki. Neymar angefunga mabao mawili kama asingekosa penalti nyingine dakika ya 17 wakati mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Marcelo dakika ya 17 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He never stops... I love it': How 'control freak' Tonda Eckert 'breathed
life' back into Southampton - neuroscience, the World Cup winners that
shaped win at all costs mentality and the 'one per cents' that dragged
Saints back into promotion race
-
One of the first things Tonda Eckert wanted after arriving at Southampton
was for every member of staff to smile a bit more. That's easier said than
done w...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment