Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Brazil kwa penalti dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Japan Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Lille, Ufaransa jioni ya leo kwenye mchezo wa kirafiki. Neymar angefunga mabao mawili kama asingekosa penalti nyingine dakika ya 17 wakati mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Marcelo dakika ya 17 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why exasperated - and maybe broken - Ruben Amorim may have already said too
much to the players he wants to sign at Man United, writes RIATH AL-SAMARRAI
-
Honest is a fine thing. For Ruben Amorim, it might be all he has. But is it
the best policy? Does it help? Has he heard of Gerald Ratner?
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment