Nyota wa Hispania, Paco Alcacer (kulia) akishangilia na Lionel Messi baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za 23 na 65 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la Sevilla lilifungwa na Guido Pizarro dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham cult hero gives update on 'new hip' surgery after being forced to
retire aged 33 following 11 YEARS of discomfort: 'Let's hope this is the
'start of a pain-free life'
-
He dealt with pain for years and is optimistic his latest surgery will be
the start of a new chapter free of discomfort. He shared pictures from
hospital, ...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment