Mshambuliaji wa Paris St Germain, Kylian Mbappe akimzunguka kipa wa Angers, Mathieu Michel kabla ya kufunga lake la pili dakika ya 84 baada ya awali kufunga dakika ya tano katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji wao hao usiku wa jana Uwanja wa Raymond Kopa mjini Angers kwenye mchezo wa Ligue 1. Mabao mengine ya PSG iliyomkosa nyota wake Neymar aliyekuwa anatumikia adhabu ya kadi nyekundu, yalifungwa na Edinson Cavani mawili pia dakika za 30 na 60 na Julian Draxler dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Kevin Durant 'Never Felt Comfortable' With Role in Vogel's Suns
Offense
-
The 2023-24 Phoenix Suns will go down as one of the most expensive
disappointments in NBA history, and Kevin Durant may want changes heading
into next seas...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment