Jeison Murillo akibinuka tik tak kuifungia bao zuri Inter Milan dakika ya 33 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Bologna usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza na kuiwezesha timu yake kutinga Robo Fainali ya Kombe la Italia baada ya mchezo uliodumu kwa dakika 120 kufuatia dakika 90 kumalizika kwa sare ya 2-2 na sasa itakutana na mshindi kati ya Lazio na Genoa zinazomenyana leo. Mabao mengine ya Inter yalifungwa na Rodrigo Palacio dakika ya 39 na Antonio Candreva dakika ya 98 wakati ya Bologna yalifungwa na Blerim Dzemaili dakika ya 43 na Godfred Donsah dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics' Jayson Tatum Explains Why He Wanted to Face Heat in NBA Playoffs
1st Round
-
Boston Celtics forward Jayson Tatum says his team was "relaxed" during last
season's first-round series against the Atlanta Hawks, and that he wanted
to st...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment