Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol usiku huu katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora michuano ya Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Gerard Pique na Neymar, wakati bao pekee la Espanyol limefungwa na Felipe Caicedo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Errands instead of espresso martinis? Why low-key hangs are redefining
friendship
-
All the hangouts currently en vogue, from admin nights to chore hangs to
body doubling, fit this ethos of trying to cultivate mundane intimacy in
hard times.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment