Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol usiku huu katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora michuano ya Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Gerard Pique na Neymar, wakati bao pekee la Espanyol limefungwa na Felipe Caicedo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: How Chelsea flop has gone from being a target of boo boys to
playing a crucial part in their push for Europe... and a key change shows
why Pep Guardiola wanted him at Man City
-
Long after full-time, once Stamford Bridge had emptied to leave only the
cleaners in the stands, Paul Winstanley and Laurence Stewart emerged from
the tunn...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment