• HABARI MPYA

    Saturday, December 12, 2015

    YANGA SC YALAZIMISHWA SARE NA MGAMBO JKT, 0-0 MKWAKWANI

    Winga wa Yanga SC, Simon Msuva (kushoto) akitafuta maarifa ya kumtoka mchezaji wa Mgambo JKT katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga. Timu hizo zimetoka 0-0.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YALAZIMISHWA SARE NA MGAMBO JKT, 0-0 MKWAKWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top