• HABARI MPYA

    Wednesday, July 10, 2013

    ZIARA YA NYOTA WA MAN UNITED AZAM COMPLEX LEO

    IMEWEKWA JULAI 10, 2013 SAA 3:50 USIKU
    Kiungo wa zamani wa kimataifa wa Afrika Kusini na klabu ya Manchester United ya England, Quinton Fortune akitoka makao makuu ya klabu ya Azam FC, Azam Complex, Chamazi leo baada ya kumaliza ziara yake maalum. PICHA ZOTE NA JAFFAR IDDI.

    Akizungumza na kocha Stewart Hall

    Akiwa na Kipre Balou

    Akiwa na Katibu, Nassor Idrisa

    Akipewa zawadi...Nyuma ni Meneja, Jemadari Said  

    Kulia kwake Samih Hajji Nuhu na kushoto kwake Himid Mao Mkami

    Akiwa na wachezaji wote wa Azam FC

    Akiwa na Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi Maganga

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ZIARA YA NYOTA WA MAN UNITED AZAM COMPLEX LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top