Lionel Messi na Luis Suarez wakipongezana baada ya wote kuifungia Barcelona katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Getafe usiku wa jana Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atlético Madrid. Messi alifunga dakika ya 20 na Suarez dakika ya 39, kabla ya Jaime Mata kuifungia Getafe dakika ya 43 na kwa ushindi huo Barcelona inafikisha pointi 40 baada ya kucheza mechi 18, ikiongoza La Liga mbele ya Atletico Madrid yenye pointi 35 za mechi 18 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Giants, Vikings' Trade Offers for Patriots' No. 3 Draft Pick
Revealed
-
The New England Patriots reportedly received lofty offers from the
Minnesota Vikings and New York Giants for their No. 3 pick in the NFL
draft. Per Sports…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment