MKURUGENZI wa Azam FC, Yusuf Bakhresa jana jioni alijumuika na wachezaji, benchi la ufundi na wafanyakazi wa timu kwenye tukio maalum la Iftar lililoandaliwa na uongozi wa timu.
Pamoja na kufutaru nao, Bakhresa pia alipata fursa ya kubadilishana nao mawazo kuelekea mechi zijazo za Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara na Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC).
GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment