// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA LUTON TOWN 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA LUTON TOWN 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA LUTON TOWN 2-0
TIMU ya Arsenal imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Luton Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates Jijini London. Mabao ya Arsenal yamefungwa na kiungo wa Kimataifa wa Norway, Martin Odegaard dakika ya 24 na beki Mjapan, Daiki Hashioka aliyejifunga dakika ya 44. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 68 katika mchezo wa 30 na kurejea kileleni, ikiizidi pointi moja Liverpool ambayo pia ina mechi moja mkononi, wakati mabingwa watetezi, Manchester City sasa wapo nafasi ya tatu kwa pointi zao 67 za mechi 30 pia.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment