// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ARSENAL YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA LUTON TOWN 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEARSENAL YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA LUTON TOWN 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ARSENAL YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA LUTON TOWN 2-0
TIMU ya Arsenal imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Luton Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates Jijini London. Mabao ya Arsenal yamefungwa na kiungo wa Kimataifa wa Norway, Martin Odegaard dakika ya 24 na beki Mjapan, Daiki Hashioka aliyejifunga dakika ya 44. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 68 katika mchezo wa 30 na kurejea kileleni, ikiizidi pointi moja Liverpool ambayo pia ina mechi moja mkononi, wakati mabingwa watetezi, Manchester City sasa wapo nafasi ya tatu kwa pointi zao 67 za mechi 30 pia.
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
CAF Postpones Libya vs Nigeria
-
The Confederation of African Football (CAF) has officially confirmed the
postponement of the AFCON 2025 second-leg match between Nigeria’s Super
Eagles a...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment