VIGOGO, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga yamefungwa na Mapinduzi Balama dakika ya 19, Heritier Makambo dakika ya 52 na Fiston Kalala Mayele kwa penalti dakika ya 71, wakati ya Mafunzo yamefungwa na Ahmed Maulid dakika ya tisa na Abdulhakim dakika ya 55.
AC Milan coach has his winners medal stolen
-
AC Milan coach Stefano Pioli has had his Serie A winner's medal stolen by
an unknown person. Pioli led Milan to their first-ever Scudetto in eleven
years a...
Sekunde 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni