VIGOGO, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga yamefungwa na Mapinduzi Balama dakika ya 19, Heritier Makambo dakika ya 52 na Fiston Kalala Mayele kwa penalti dakika ya 71, wakati ya Mafunzo yamefungwa na Ahmed Maulid dakika ya tisa na Abdulhakim dakika ya 55.
Becky Lynch, Lita, Trish Stratus Defeat Damage CTRL at WWE WrestleMania 39
-
The team of Becky Lynch and WWE Hall of Famers Lita and Trish Stratus
defeated Damage CTRL in a six-woman tag team match on Night 1 of
WrestleMania 39 on…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment