VIGOGO, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga yamefungwa na Mapinduzi Balama dakika ya 19, Heritier Makambo dakika ya 52 na Fiston Kalala Mayele kwa penalti dakika ya 71, wakati ya Mafunzo yamefungwa na Ahmed Maulid dakika ya tisa na Abdulhakim dakika ya 55.
MLB The Show 24 Review: Gameplay Videos, Features, Modes and Impressions
-
MLB The Show 24 from developer San Diego Studio is a little akin to a
championship club re-tooling its roster for continued success. The
long-running series…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment