• HABARI MPYA

    Tuesday, March 15, 2022

    AISHI MANULA; CLEEN SHEETS 118, MECHI 200 SIMBA SC


    MABINGWA wa Tanzania, Simba SC Jumapili walipanda kileleni mwa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya RS Berkane ya Morocco, bao pekee la winga Msenegal, Pape Ousmane Sakho dakika ya 44 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. 
    Kwa matokeo hayo, Simba SC inafikisha pointi saba na kuongoza Kundi D, mbele ya RSB Berkane wenye pointi sita, sawa na ASEC Mimosas ya Ivory Coast, wakati US Gendamarie ya Niger inashika mkia ikiwa na pointi nne.
    Matokeo haya yanaiweka Simba kwenye nafasi nzuri ya kwenda Robo Fainali ya michuano hiyo kuelekea mechi mbili za mwisho za kundi hilo, ugenini dhidi ya ASEC Machi 20 nchini Benin na nyumbani dhidi ya USGN nyumbani Aprili 3.
    Sifa zimuendee kipa Aishi Salum Manula aliyekuwa langoni Jumapili na kumaliza dakika 90 bila kuruhusu bao, akiidakia Simba SC mechi ya 200 tangu ajiunge nayo kutoka Azam FC Juni mwaka 2017. 



    Hapana shaka mechi 200 ndani ya miaka mitano ni kielelezo tosha cha namna Aishi, ambaye pia ni kipa bora zaidi kwa sasa nchini akiwa chachu ya mafanikio ya timu katika misimu hii mitano, akiiwezesha kufika Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa mara mbili na kutwaa ubingwa wa Ligi Ku umara nne mfululizo.
    Katika mechi zote 200 alizodaka hadi sasa, Aishi amesimama langoni mara 118 bila kuruhusu bao Simba SC na kwa ujumla amefungwa mabao 109, akiiongoza timu kushinda mechi 140, kufungwa 25 na sare 35.
    Aishi mwenye umri wa miaka 26 tayari ameingia kwenye orodha ya makipa bora kuwahi kutokea siyo tu katika klabu yake, Simba bali hata na nchini kwa ujumla na sasa anawania kuweka rekodi zaidi ili kudhihirisha ubora wake. 
    Huyo ndiye kipa aliyeiwezesha Taifa Stars kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2019 nchini Misri ambaye Jumapili amedaka mechi ya 200 tangu ajiunge na Simba SC miaka mitano iliyopita.


    REKODI YA AISHI MANULA SIMBA
    1. Simba 1-0 Rayon Sport (Hakufungwa Kirafiki Simba Day Taifa)
    2. Simba 0-0 Mlandege FC  (Hakufungwa Kirafiki Amaan, Zbar)
    3. Simba 0-0 (5-4 penalti) Yanga (Hakufungwa Ngao ya Jamii, Taifa Penalti)
    4. Simba 7 – 0 Ruvu Shooting (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    5. Simba 0 – 0 Azam FC (Hakufungwa Ligi Kuu Chamazi)
    6. Simba 3 – 0 Mwadui (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    7. Simba 2 – 2 Mbao FC (Alifungwa mbili Ligi Kuu Kirumba, Mwanza)
    8. Simba 0-0 Milambo (Aliingia, hakufungwa Kirafiki A. Mwinyi, Tabora)
    9. Simba 2-1 Stand United (Alifungwa moja Ligi Kuu Shinyanga)
    10. Simba 1-1 Mtibwa Sugar (Alifungwa moja Ligi Kuu Uhuru)
    11. Simba 4-0 Njombe Mji (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    12. Simba 1-1 Yanga (Alifungwa moja Ligi Kuu Uhuru)
    13. Simba 1-0 Mbeya City (Hakufungwa Ligi Kuu Sokoine)
    14. Simba 1-0 Tanzania Prisons (Hakufungwa Ligi Kuu Sokoine)
    15. Simba 1-1 Lipuli FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Uhuru)
    16. Simba 1-1 (Penalti 3-4) Green Warriors (Alifungwa moja na penalti nne Kombe             la TFF Chamazi)
    17. Simba 2-0 Ndanda FC (Hakufungwa Ligi Kuu Nangwanda)
    18. Simba 4-0 Singida United  (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    19. Simba 2-0 Kagera Sugar  (Hakufungwa Ligi Kuu Kaitaba)
    20. Simba 4-0 Maji Maji FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    21. Simba 3-0 Ruvu Shooting FC (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    22. Simba 1-0 Azam FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    23. Simba 4-0 Gendarmerie Tnare  (Hakufungwa, Kombe la Shirikiaho Kuu Taifa)
    24. Simba 2-2 Mwadui FC (Alifungwa mbili Ligi Kuu Kambarage)
    25. Simba 1-0 Gendarmerie Tnare  (Hakufungwa – Kombe la Shirikisho Djibouti)
    26. Simba 5-0 Mbao FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    27. Simba 3-3 Stand United (Alifungwa zote tatu Ligi Kuu Taifa)
    28. Simba 2-2 Al Masry  (Alifungwa mbili moja kwa penalti Kombe la Shirikisho Taifa)
    29. Simba 0-0 Al Masry  (Hakufungwa Kombe la Shirikisho Port Said)
    30. Simba 2-0 Njombe Mji FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa Njombe)
    31. Simba SC 1-0 Mtibwa Sugar (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa) 
    32. Simba 3-1 Mbeya City  (Alifungwa moja Ligi Kuu Taifa)
    33. Simba 2-0 Tanzania Prisons  (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    34. Simba 1-1 Lipuli FC  (Alifungwa moja, Ligi Kuu Samora)
    35. Simba 1-0 Yanga SC (Hakufungwa, Ligi Kuu Taifa)
    36. Simba 1-0 Ndanda FC  (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    37. Simba 1-0 Singida United  (Hakufungwa Ligi Kuu Namfua)
    38. Simba 0-0 (3-2 Penalti) Kariobangi Sharks  (Hakufungwa, akaokoa penalti moja          SportPesa SuperCup Nakuru)
    39. Simba SC 0-0 (Penalti 5-4i) Home Boys (Hakufungwa SportPesa Cup Nakuru)
    40. Simba 0-2 Gor Mahia (Alifungwa mbili SportPesa SuperCup Nakuru)
    41. Simba SC 1-1 F.C.E KSAIFA ya Palestina (Hakufungwa kirafiki ziara ya Uturuki)
    42. Simba SC 3-1 MC Oujder ya Morocco (Hakufungwa Kirafiki ziara ya Uturuki)
    43. Simba SC 1-1 Asante Kotoko ya Ghana (Alifungwa moja Simba Day Taifa)
    44. Simba SC 2-1 Arusha United (Alifungwa moja Kirafiki S.A. Abeid, Arusha)
    45. Simba SC 2-1 Mtibwa Sugar (Alifungwa moja Ngao ya Jamii Kirumba, Mwanza)
    46. Simba SC 1-0 Tanzania Prisons (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    47. Simba SC 2-0 Mbeya City (Hakufungwa, Ligi Kuu alimpisha Abdul Salim dk53)
    48. Simba SC 0-0 Ndanda FC (Hakufungwa Ligi Kuu Mtwara)
    49. Simba SC 0-1 Mbao FC (Alifungwa moja kwa penalti Ligi Kuu Mwanza)
    50. Simba SC 3-1 Mwadui FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Shinyanga)
    51. Simba SC 0-0 Yanga SC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    52. Simba SC 2-1 African Lyon (Alifungwa moja Ligi Kuu Taifa)
    53. Simba SC 3-0 Stand United (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    54. Simba SC 5-1 Alliance FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Taifa)
    55. Simba SC 5-0 Ruvu Shooting FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    56. Simba SC 2-0 JKT Tanzania (Hakufungwa Ligi Kuu Mkwakwani)
    57. Simba SC 0-0 Lipuli FC (Hakufungwa Ligi Kuu Uwanja wa Taifa)
    58. Simba SC 4-1 Mbabane Swallows (Alifungwa moja Ligi ya Mabingwa Taifa)
    59. Simba SC 4-0 Mbabane Swallows (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa Manzini)
    60. Simba SC 1-2 Nkana FC (Alifungwa mbili Ligi ya Mabingwa Afrika Kitwe) 
    61. Simba SC 3-1 Nkana FC (Alifungwa moja Ligi ya Mabingwa Afrika Taifa)
    62. Simba SC 3-0 Singida United (Hakufungwa Ligi Kuu Uwanja wa Taifa)
    63. Simba SC 1-0 KMKM (Hakufungwa Kombe la Mapinduzi, Zanzibar)
    64. Simba SC 3-0 JS Saoura (Hakufungwa Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika Taifa)
    65. Simba SC 0-5 AS Vita (Alifungwa tano Kundi D Ligi ya Mabingwa Kinshasa) 
    66. Simba SC 2-1 AFC Leopards (Alifungwa moja SportPesa Super Cup Taifa)
    67. Simba SC 1-2 Bandari FC (Alifungwa mbili SportPesa Super Cup Taifa)
    68. Simba SC 0-5 Al Ahly (Alifungwa tano Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika Cairo)
    69. Simba SC 3-0 Mwadui FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    70. Simba SC 1-0 Al Ahly (Hakufungwa Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika Dar) 
    71. Simba SC 1-0 Simba SC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    72. Simba SC 3-0 African Lyon (Hakufungwa Ligi Kuu Sheikh Amri Abeid)
    73. Simba SC 3-1 Azam FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Taifa) 
    74. Simba SC 3-1 Lipuli FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Samora)
    75. Simba SC 2-0 Stand United (Hakufungwa Ligi Kuu Kambarage)
    76. Simba SC 0-2 JS Saoura (Alifungwa mbili Kundi D Ligi ya Mabingwa Bechar) 
    77. Simba SC 2-1 AS Vita (Alifungwa moja Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika Dar) 
    78. Simba SC 0-0 TP Mazembe (Hakufungwa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Dar)
    79. Simba SC 1-4 TP Mazembe (Alifungwa 4 Robo Fainali Ligi ya Mabingwa, DRC)
    80. Simba SC 2-1 Coastal Union (Alifungwa moja Ligi Kuu Mkwakwani, Tanga)
    81. Simba SC 1-2 Kagera Sugar (Alifungwa moja, Ligi Kuu Kaitaba, Bukoba) 
    82. Simba SC 2-0 Alliance FC (Hakufungwa Ligi Kuu Kirumba, Mwanza) 
    83. Simba SC 2-1 KMC (Alifungwa moja Ligi Kuu Kirumba, Mwanza)
    84. Simba SC 1-0 Tanzania Prisons (Hakufungwa Ligi Kuu, Sokoine)
    85. Simba SC 8-1 Coastal Union (Alifungwa moja Ligi Kuu, Uhuru)
    86. Simba SC 0-1 Kagera Sugar (Alifungwa moja Ligi Kuu, Uhuru)
    87. Simba SC 0-0 Azam FC (Hakufungwa Ligi Kuu, Uhuru)
    88. Simba SC 3-0 Mtibwa Sugar (Hakufungwa Ligi Kuu, Uhuru)
    89. Simba SC 2-0 Ndanda FC (Hakufungwa Ligi Kuu, Uhuru)
    90. Simba SC 4-5 Sevilla (Alifungwa moja akampisha Deo Munishi dk46, Taifa)
    91. Simba SC 4-0 Orbit Tvet (Hakufungwa, alimpisha Benno Rusternburg)  
    92. Simba SC 1-1 UD Songo (Alifungwa moja Ligi ya Mabingwa Taifa)
    93. Simba SC 3-1 JKT Tanzania (Alifungwa moja Ligi Kuu Uhuru)
    94. Simba SC 2-1 Mtibwa Sugar (Alifungwa moja Ligi Kuu Uhuru)
    95. Simba SC 3-0 Kagera Sugar (Hakufungwa Ligi Kuu Kaitaba)
    96. Simba SC 2-0 Biashara United (Hakufungwa Ligi Kuu Musoma)
    97. Simba SC 1-0 Mashujaa FC (Hakufungwa Kirafiki Kigoma)
    98. Simba SC 1-0 Azam FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    99. Simba SC 1-0 Singida United (Hakufungwa Ligi Kuu Arusha)
    100. Simba SC 0-1 Mwadui FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Shinyanga) 
    101. Simba SC 4-0 Mbeya City (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    102. Simba SC 0-0 Tanzania Prisons (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    103. Simba SC 3-0 Ruvu Shooting (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    104. Simba SC 2-0 KMC (Hakufungwa Ligi Kuu Uhuru)
    105. Simba SC 2-0 Ndanda FC (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    106. Simba SC 2-2 Yanga SC (Alifungwa mbili Ligi Kuu Taifa) 
    107. Simba SC 3-0 JKT Tanzania  (Hakufungwa Ligi Kuu Jamhuri)
    108. Simba SC 1-0 Lipuli FC  (Hakufungwa Ligi Kuu Samora) 
    109. Simba SC 1-0 Kagera Sugar  (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    110. Simba SC 3-1 Biashara Unted  (Alifungwa moja Ligi Kuu Taifa)
    111. Simba SC 2-0 KMC  (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    112. Simba SC 3-2 Azam FC  (Alifungwa mbili Ligi Kuu Taifa) 
    113. Simba SC 0-1 Yanga SC  (Alifungwa moja Ligi Kuu Taifa)
    114. Simba SC 8-0 Singida United  (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    115. Simba SC 3-1 KMC (Alifungwa moja Kirafiki Mo Simba Arena)
    116. Simba SC 1-1 Ruvu Shooting  (Alifungwa moja Ligi Kuu Taifa)
    117. Simba SC 3-0 Mwadui FC  (Hakufungwa Ligi Kuu Taifa)
    118. Simba SC 2-0 Mbeya City (Hakufungwa Ligi Kuu Sokoine)
    119. Simba SC 2-0 Mbeya City (Hakufungwa Ligi Kuu Sokoine)
    120. Simba SC 2-0 Azam FC (Hakufungwa Kombe la TFF Taifa)
    121. Simba SC 0-0 Ndanda SC (Hakufungwa Ligi Kuu Nangwanda Sijaona)
    122. Simba SC 4-1 Yanga SC (Alifungwa moja Kombe la TFF Taifa)
    123. Simba SC 2-1 Polisi Tanzania (Alifungwa moja Ligi Kuu Ushirika, Moshi)
    124. Simba SC 2-1 Namungo FC (Alifungwa moja Kombe la TFF Sumbawanga)
    125. Simba SC 6-0 Vital’O (Alimpisha Beno dk46, hakufungwa Kirafiki Simba Day)
    126. Simba SC 3-1 KMC (Alifungwa moja kirafiki Uhuru asubuhi) 
    127. Simba SC 2-0 Namungo FC (Hakufungwa Ngao ya Jamii Arusha)
    128. Simba SC 2-1 Ihefu SC (Alifungwa moja Ligi Kuu Sokoine)
    129. Simba SC 1-1 Mtibwa Sugar (Alifungwa moja Ligi Kuu Jamhuri)
    130. Simba SC 4-0 Biashara United (Hakufungwa Ligi Kuu Mkapa)
    131. Simba SC 3-0 Gwambina FC (Hakufungwa Ligi Kuu Mkapa)
    132. Simba SC 4-0 JKT Tanzania (Hakufungwa Ligi Kuu Jamhuri)
    133. Simba SC 3-1 Mlandege SC (Alifungwa moja Kirafiki Chamazi)
    134. Simba SC 0-1 Tanzania Prisons (Alifungwa moja Ligi Kuu Sumbawanga)
    135. Simba SC 1-1 Yanga SC (Alifungwa moja Ligi Kuu Mkapa)
    136. Simba SC 7-0 Coastal Union (Hakufungwa Ligi Kuu Sheikh Amri Abeid)
    137. Simba SC 1-0 Plateau United (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa Jos, NIgeria)
    138. Simba SC 0-0 Plateau United (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa Mkapa)
    139. Simba SC 2-0 Polisi Tanzania (Alifungwa moja Ligi Kuu Mkapa) 
    140. Simba SC 1-0 Mbeya City (Hakufungwa Ligi Kuu, Sokoine)
    141. Simba SC 1-0 KMC (Hakufungwa alimpisha Beno dk46 Ligi Kuu, Mkapa) 
    142. Simba SC 0-1 FC Platinums (Alifungwa moja Ligi ya Mabingwa, Harare)
    143. Simba SC 4-0 Ihefu SC (Hakufungwa Ligi Kuu, Mkapa)
    144. Simba SC 4-0 Platinums FC (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa, Mkapa)
    145. Simba SC 2-1 Dodoma Jiji FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Dodoma)
    146. Simba SC 2-2 Azam FC FC (Alifungwa mbili Ligi Kuu Mkapa)
    147. Simba SC 1-0 AS Vita (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa Afrika – Kinshasa)
    148. Simba SC 1-0 Biashara United (Hakufungwa Ligi Kuu Musoma)
    149. Simba SC 1-0 Al Ahly (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa Afrika – Mkapa)
    150. Simba SC 3-0 African Lyon (Hakufungwa Kombe la TFF – Mkapa)
    151. Simba SC 3-0 JKT Tanzania (Hakufungwa alimpisha Beno dk70  Ligi Kuu)
    152. Simba SC 1-1 Tanzania Prisons (Alifungwa moja Ligi Kuu – Mkapa)
    153. Simba SC 3-0 El Merreikh (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa– Mkapa)
    154. Simba SC 0-1 Al Ahly (Alifungwa moja Ligi ya Mabingwa – Cairo)
    155. Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar (Hakufungwa Ligi Kuu – Mkapa)
    156. Simba SC 1-0 Mwadui FC (Hakufungwa Ligi Kuu – Kambarage)
    157. Simba SC 2-0 Kagera Sugar (Hakufungwa Ligi Kuu – Kaitaba)
    158. Simba SC 1-0 Gwambina FC (Hakufungwa Ligi Kuu – Gwambina)
    159. Simba SC 3-1 Dodoma Jiji FC (Alifungwa moja Ligi Kuu – Mkapa)
    160. Simba SC 2-1 Kagera Sugar (Alifungwa moja Kombe la TFF – Mkapa)
    161. Simba SC 0-4 Kaizer Chiefs (Alifungwa nne Ligi ya Mabingwa – Johannesburg)
    162. Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa – Mkapa) 
    163. Simba SC 3-0 Dodoma Jiji FC (Hakufungwa Kombe la TFF – Mkapa)
    164. Simba SC 3-1 Namungo FC (Alifungwa moja Ligi Kuu – Majaliwa, Ruangwa)
    165. Simba SC 3-0 Ruvu Shooting FC (Hakufungwa Ligi Kuu – Kirumba, Mwanza)
    166. Simba SC 1-0 Polisi Tanzania (Hakufungwa Ligi Kuu – Kirumba, Mwanza)
    167. Simba SC 1-0 Azam FC (Hakufungwa Kombe la TFF – Songea) 
    168. Yanga SC 1-0 Simba SC (Alifungwa moja Ligi Kuu Mkapa)
    169. Simba SC 2-0 KMC (Hakufungwa Ligi Kuu – Mkapa) 
    170. Simba SC 4-0 Namungo FC (Hakufungwa Ligi Kuu – Mkapa –mabingwa tayari)
    171. Simba SC 1-0 Yanga SC (Hakufungwa Fainali Kombe la TFF – Kigoma) 
    172. Simba SC 0-1 TP Mazembe (Alifungwa moja Kirafiki Simba Day Mkapa) 
    173. Simba SC 2-1 Aigle Noir (Alimpisha Beno, alifungwa moja kirafiki Arusha)
    174. Simba SC 0-1 Yanga SC (Alifungwa moja Ngao ya Jamii Mkapa) 
    175. Simba SC 0-0 Biashara United (Hakufungwa Ligi Kuu Musoma) 
    176. Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC (Hakufungwa Ligi Kuu Jamhuri) 
    177. Simba SC 2-0 Jwaneng Galaxy (Hakufungwa Ligi ya Mabingwa Gaborone)
    178. Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy (Alifungwa tatu Ligi ya Mabingwa Mkapa) 
    179. Simba SC 1-0 Polisi Tanzania (Hakufungwa Ligi Kuu Mkapa)
    180. Simba SC 0-0 Coastal Union (Hakufungwa Ligi Kuu Mkapa)
    181. Simba SC 1-0 Namungo FC (Hakufungwa Ligi Kuu Mkapa)
    182. Simba SC 3-1 Ruvu Shooting (Alifungwa moja Ligi Kuu Kirumba)
    183. Simba SC 3-0 Red Arrows (Hakufungwa Kombe la Shirikisho Mkapa)
    184. Simba SC 2-1 Geita Gold (Alifungwa moja Ligi Kuu Mkapa)
    185. Simba SC 1-2 Red Arrows (Alifungwa mbili Kombe la Shirikisho Lusaka)
    186. Simba SC 0-0 Yanga SC (Hakufungwa Ligi Kuu Mkapa)
    187. Simba SC 4-1 KMC (Alifungwa moja Ligi Kuu Mwinyi, Tabora)
    188. Simba SC 2-1 Azam FC (Alifungwa moja Ligi Kuu Mkapa)
    189. Simba SC 0-0 Mlandege FC (Hakufungwa Kombe la Mapinduzi, Zanzibar)
    190. Simba SC 2-0 Namungo FC (Hakufungwa Nusu Fainali Mapinduzi, Zanzibar)
    191. Simba SC 1-0 Azam FC (Hakufungwa Fainali Mapinduzi, Zanzibar)
    192. Simba SC 0-1 Mbeya City (Alifungwa moja Ligi Kuu Sokoine)
    193. Simba SC 0-0 Mtibwa Sugar (Hakufungwa Ligi Kuu Manungu)
    194. Simba SC 0-1 Kagera Sugar (Alifungwa moja Ligi Kuu Bukoba)
    195. Simba SC 1-0- Tanzania Prisons (Hakufungwa Ligi Kuu Mkapa)
    196. Simba SC 3-1 ASEC (Alifungwa moja Kombe la Shirikisho, Mkapa)
    197. Simba SC 7-0 Ruvu (Hakufungwa alimpisha Abdul Salum dk46 Kombe la TFF)
    198. Simba SC 1-1 USGendarmerie (Alifungwa moja Kombe la Shirikisho, Niamey)
    199. Simba SC 0-2 RSB Berkane (Alifungwa mbili Kombe la Shirikisho, Morocco)
    200. Simba SC 1-0 RSB Berkane (Hakufungwa Kombe la Shirikisho, Mkapa)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AISHI MANULA; CLEEN SHEETS 118, MECHI 200 SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top