• HABARI MPYA

    Thursday, March 17, 2022

    YANGA WAMUENZI MAGUFULI KWA NA NAMNA HII


    VIONGOZI wa benchi la Ufundi na wachezaji leo waumeungana na Watanzania wote katika kumbukizi ya Mwaka mmoja wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliekuwa Rais wa Awamu ya Tano kwa kuwatembelea Wagonjwa katika Hospitali ya Ocean Road Jijini Dar es Salaam.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA WAMUENZI MAGUFULI KWA NA NAMNA HII Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top