BAO pekee la Hassan Mwaterema dakika ya 20 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Mbeya City leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Kwa ushindi huo, Kagera Sugar inafikisha pointi 24 na kupanda kwa nafasi tatu hadi ya sita,ikizidiwa pointi moja na Mbeya City inayoendelea kushika nafasi ya tano baada ya timu zote kucheza mechi 18.
0 comments:
Post a Comment