OFISA wa Shirikisho la SOKA Somalia (SFF), Abdinur Warka akimkabidhi jezi ya timu ya taifa ya nchi hiyo, mshambuliaji Mzimbabwe wa Azam FC, Prince Dube Mpumelelo leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Warka amekuwa na timu ya taifa ya ya Somalia chini ya umri wa miaka 23, ambayo Machi 23 itamenyana na Eswatini Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam katika mchezo wa kufuzu Fainali za Afrika (AFCON U23).
0 comments:
Post a Comment