BEKI wa kulia wa Simba SC, Shomari Kapombe akiwa ameshika Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa mwezi Februari wa klabu hiyo baada ya kukabidhiwa na wadhamini, Emirate Aluminium.
Shomari Kapombe akikabidhiwa mfano wa Hundi wa Sh. Milioni 2 kama zawadi ya ushindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Simba mwezi Februari.
0 comments:
Post a Comment