MABAO ya Thomas Partey dakika ya na Alexandre Lacazette kwa penalti dakika ya baada ya Çaglar Soyuncu kuunawa mpira yameipa Arsenal ushindi wa 2-0 dhidi ya Leicester City Uwanja wa Emirates Jijini London leo.
Arsenal inafikisha pointi 51 na kurejea nafasi ya nne, wakati Leicester inabaki na pointi zake 33 za katika nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi 26.
0 comments:
Post a Comment