WENYEJI, Biashara United wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Karume mjini Musoma mkoani Mara. Mabao ya Biashara United yote yamefungwa na Deogratius Mafie dakika ya 26 na 34, wakati la Prisons limefungwa na Ezekiah Mwashindilindi dakika ya 68. Kwa ushindi huo, Biashara inafikisha pointi 19 na kusogea nafasi ya 13, wakati Prisons inaendelea kushika mkia na pointi zake 13, baada ya wote kucheza mechi 18.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment