• HABARI MPYA

    Thursday, March 03, 2022

    LUKAKU AIPELEKA CHELSEA ROBO FAINALI FA


    TIMU ya Chelsea imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Luton Town usiku wa Jumatano Uwanja wa Kenilworth Road mjini Luton, Bedfordshire.
    Mabao ya Chelsea yamefungwa na Saul Niguez dakika ya 27, Timo Werner dakika ya 68 na Romelu Lukaku dakika ya 78, wakati ya Luton Town yamefungwa na Reece Burke dakika ya pili na Harry Cornick dakika ya 40.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AIPELEKA CHELSEA ROBO FAINALI FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top