• HABARI MPYA

    Thursday, March 03, 2022

    YANGA YAGAWA KADI MPYA BARAZANI ZENJI


    MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah akimkabidhi Kadi ya Pili ya Mwanachama wa klabu ya Yanga leo visiwani Zanzibar, Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid. 


    MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Viongozi wa Yanga SC katika hafla ya utoaji wa kadi mpya za Uanachama kwenye Ukumbi wa Wawakilishi, Zanzibar.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA YAGAWA KADI MPYA BARAZANI ZENJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top