WENYEJI, Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bila mabao na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Kwa sare hiyo ambayo inaiongezea kila timu pointi moja, Tanzania Prisons inafikisha 13 katika mchezo wa 17 ikiendelea kushik mkia, wakati Mtibwa Sugar inafikisha 16 katika mchezo wa 17 pia nafasi ya 12.
0 comments:
Post a Comment