• HABARI MPYA

    Sunday, March 20, 2022

    CHELSEA YATANGULIA NUSU FAINALI KOMBE LA FA


    MABAO ya Romelu Lukaku dakika ya 15 na ‘birthday boy’ Hakim Ziyech dakika ya 31 yameipa Chelsea ushindi wa 2-0 dhidi ya Middlesbrough katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England Jumamosi Uwanja wa Riverside.
    Kwa matokeo hayo, mabingwa hao wa Ulaya wanakwenda Nusu Fainali ya FA ambayo itapigwa Uwanja wa Wembley Jijini London.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YATANGULIA NUSU FAINALI KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top