Sudan ilitangulia kwa bao la Sadiq Totto mapema tu dakika ya pili, kabla ya Simon Msuva kuisawazishia Taifa Stars dakika ya 67.
STARS YATOA SARE 1-1 NA SUDAN DAR
Sudan ilitangulia kwa bao la Sadiq Totto mapema tu dakika ya pili, kabla ya Simon Msuva kuisawazishia Taifa Stars dakika ya 67.
0 maoni:
Chapisha Maoni