TIMU ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, imeitandika Botswana mabao 7-0 jioni ya leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar katika mchezo wa Raundi ya Pili kufuzu Kombe la Dunia baadaye mwaka huu nchini India. Mabao ya Tanzania U17 leo yamefungwa na Neema Paul na Clara Luvanga kila mmoja mawili na Aisha Juma matatu. Timu hizo zitarudiana Machi 20 Uwanja wa Obed Itani Chilume Jijini Francistown na mshindi wa jumla atakutana na Burundi katika Raundi ya Tatu kuwania kwenda Raundi ya mwisho ya mchujo.
Hardship: Minister begs youths not to protest
-
From Okwe Obi, Abuja The Minister of Youth Development for State, Ayodele
Olawande, has discouraged the youth from participating in the planned
protest, ...
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment