• HABARI MPYA

    Sunday, March 13, 2022

    CHELSEA YAIKANYAGA NEWCASTLE 1-0 DARAJANI


    BAO pekee la Kai Havertz dakika ya 89 limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London.
    Chelsea inafikisha pointi 59 katika mchezo wa 28, ingawa inabaki na nafasi ya tatu, wakati Newcastle inabaki na pointi zake 31 za mechi 28 nafasi ya 14.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAIKANYAGA NEWCASTLE 1-0 DARAJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top