WINGA Mkongo wa Yanga SC, Jesus Moloko amefanyiwa upasuaji leo Jijini Dar es Salaam baada ya kuumia mwezi uliopita na atakuwa nje kwa wiki zizisopungua tatu.
Wakati huo huo, kikosi cha Yanga kimewasili Jijini Mwanza mapema leo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya went, Geita Gold Jumapili Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Atalanta needs Lookman’s magic – Gasperine
-
•Club coach ponders Injured Nigerian return Atalanta coach Gian Pero
Gasperini is banking on Super Eagles forward Ademola Lookman to lead their
comeback ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment