LIVERPOOL imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Nottingham Forest Uwanja wa The City Ground Nottingham, Nottinghamshire.
Bao pekee la Liverpool katika mchezo huo limefungwa na mshambuliaji Mreno, Diogo Jota dakika ya 78 na sasa Wekundu hao watakutana na Manchester City mwezi ujao Uwanja wa Wembley Jijini London.
0 comments:
Post a Comment